Kutoa huduma ya Maji inayomjali mteja kwa viwango vinavyokubalika Ulimwenguni.
Kutoa huduma ya majisafi, salama, yakutosha, endelevu na nafuu kwa wateja wetu katika maeneo yote tunayo hudumia.
Huduma bora ya maji ya jumla, Uwajibikaji, Uwazi, Ubunifu, Kumjali Mteja
BEI ZA MAJI | |||
Kundi la Mteja | Mamlaka za Maji | CBWSO | Migodi |
Bei ya Unit 1 (lita 1,000) | Sh. 985 | Sh. 750 | Sh. 1240 |
Copyright © 2025 KASHWASA.